Uganda: Aibu yaikumba upinzani
Wiki jana
Malkia Elizabeth wa pili wa Uingereza alikuwa mgeni wa heshima katika mkutano huo.
Cha kustajaabisha ni vile vyama vya upinzani badala na kufanya wageni wahisi nyumbani waliamua kufanya migomo. Serikali ya
Polisi wa kizima ghasia hawakusita kuwacharaza waliovunja sheria.
Kulingana na mimi, badala ya kufanya migomo viongozi wa upinzani wakijiandaa kupatana na Malkia na wageni kutoka mataifa mengine, aghalabu waelezee matatizo ya kwa njia ya kistaarabu.
Pole
Ukidhani ni vyama vya upinzani tu vilivyogoma utakuwa umekosea. Wafalme wa
Swali kwa falme hizo, Malkia Elizabeth alikuwa wa wadhifa alio nao wakati madhambi yalikuwa yakifanyika? Je, falme zingepeleka kesi zao kati mahakama ya kimataifa, siwangepata suluhu?
Picha/timesonline.co.uk