Friday, November 09, 2007

Kuawa na kuvuutwa kwa maiti ya wanajeshi waethiopia

Mwaka wa 1993 wanajeshi wa marekani walipouawa na kuvurutwa katika mitaa ya Mogadishu ilikuwa ni onyo na wengi walidhani ni mara ya mwisho kwa visa kama hivyo kufanyika.

Wiki hii, wanajeshi watatu wa Ethiopia waliuawa na waasi, kisha maiti zao kuvurutwa kinagaubaga katika mitaa ya Jiji la Mogadishu huku waasi hao wakishangilia wakisema "mungu ni mkubwa."

Je, hii ni kusema wasomali wenye msimamo mkali wamechoka na majeshi ya Ethiopia?, Hii ni kusema wanajeshi wa Ethiopia wameshindwa katika kuithibiti na kuilinda Mogadishu?, Je, hii ni inadhihirisha wanasomali/ waasi wanawaambia wanajeshi waethiopia waondoke Somalia??

Picha/Associated Press

0 Comments:

Post a Comment

Subscribe to Post Comments [Atom]

<< Home