Kuawa na kuvuutwa kwa maiti ya wanajeshi waethiopia

Wiki hii, wanajeshi watatu wa Ethiopia waliuawa na waasi, kisha maiti zao kuvurutwa kinagaubaga katika mitaa ya Jiji la Mogadishu huku waasi hao wakishangilia wakisema "mungu ni mkubwa."
Je, hii ni kusema wasomali wenye msimamo mkali wamechoka na majeshi ya Ethiopia?, Hii ni kusema wanajeshi wa Ethiopia wameshindwa katika kuithibiti na kuilinda Mogadishu?, Je, hii ni inadhihirisha wanasomali/ waasi wanawaambia wanajeshi waethiopia waondoke Somalia??
Picha/Associated Press
0 Comments:
Post a Comment
Subscribe to Post Comments [Atom]
<< Home