Thursday, November 22, 2007

Kuna umuhumu wa mkutano wa nchi za madola?

Mkutano wa nchi za madola unaofanyika Uganda ni jambo la kufurahisha sana.

Malkia Elizabeth wa pili wa Uiengereza yupo Kampala na kando na kuongoza mikutano muhimu atazuru kituo cha HIV na Ukimwi cha Mildmay na mbuga ya Queen Elizabeth.


Je, mkutano wa nchi za madola ina umuhimu wowote??

0 Comments:

Post a Comment

Subscribe to Post Comments [Atom]

<< Home